a
Mt 27:32
;
Mk 15:21
;
Yn 19:17
Luke 23:26
26
a
Walipokuwa wakienda naye, wakamkamata mtu mmoja aitwaye Simoni mwenyeji wa Kirene, aliyekuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shambani. Wakambebesha msalaba, wakamlazimisha auchukue nyuma ya Isa.
Copyright information for
SwhKC